Kumbukumbu la Torati 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na itatukia kwamba ikiwa yule mwovu anastahili kupigwa,+ atalazwa kifudifudi na mwamuzi na kupigwa+ mbele yake kwa hesabu inayolingana na tendo lake baya. Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+ Methali 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hukumu zimefanywa imara kwa ajili ya wenye dhihaka,+ na mapigo kwa ajili ya mgongo wa wajinga.+ Methali 20:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Vidonda vya mapigo ndivyo huondolea mbali ubaya;+ na mapigo, sehemu za ndani kabisa za tumbo.+
2 Na itatukia kwamba ikiwa yule mwovu anastahili kupigwa,+ atalazwa kifudifudi na mwamuzi na kupigwa+ mbele yake kwa hesabu inayolingana na tendo lake baya.
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+