19 ule uthibitisho mkubwa ambao macho yako yaliona,+ na zile ishara na miujiza+ na ule mkono wenye nguvu+ na ule mkono ulionyooshwa+ ambao Yehova Mungu wako aliutumia kukutoa huko.+ Hivyo ndivyo Yehova Mungu wako atakavyowatendea watu wote unaoogopa mbele yao.+