Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”

  • Kumbukumbu la Torati 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 upate kumwogopa+ Yehova Mungu wako ili kushika sheria zake zote na amri zake ambazo ninakuamuru wewe, wewe na mwana wako na mjukuu wako,+ siku zote za maisha yako, na ili siku zako ziwe ndefu.+

  • Methali 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa sababu utaongezewa+ urefu wa siku na miaka ya uzima+ na amani.

  • Methali 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwanangu, sikia maneno yangu na kuyakubali.+ Ndipo miaka ya maisha yako itakuwa mingi.+

  • Methali 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana nitafanya siku zako ziwe nyingi,+ nawe utaongezewa miaka ya uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki