40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”
2 upate kumwogopa+ Yehova Mungu wako ili kushika sheria zake zote na amri zake ambazo ninakuamuru wewe, wewe na mwana wako na mjukuu wako,+ siku zote za maisha yako, na ili siku zako ziwe ndefu.+