Kumbukumbu la Torati 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+ Isaya 63:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+
20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+
10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+