Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Adui alisema, ‘Nitafuatilia!+ Nitafikia!+

      Nitagawa nyara!+ Nafsi yangu itajawa nazo!

      Nitauchomoa upanga wangu! Mkono wangu utawafukuzia mbali!’+

  • Waamuzi 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Wana wa Benyamini walipotoka kwenda kukutana na wale watu, wakavutwa mbali na jiji.+ Ndipo, kama vile ilivyokuwa zile nyakati nyingine, wakaanza kuwapiga baadhi ya watu, karibu watu 30 katika Israeli,+ waliokuwa na majeraha ya kufisha katika njia kuu, moja ya njia hizo inapanda kwenda Betheli+ na ile nyingine inaenda Gibea,+ shambani.

  • Zaburi 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+

      Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+

      Higayoni. Sela.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki