Zaburi 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+ Mhubiri 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+ Mhubiri 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usiruhusu kinywa chako kiufanye mwili wako utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika+ kwamba lilikuwa kosa.+ Kwa nini Mungu wa kweli akasirike kwa sababu ya sauti yako na kuiharibu kazi ya mikono yako?+
4 Machoni pake mtu yeyote mwenye kudharaulika hakika amekataliwa,+Lakini yeye anawaheshimu wale wanaomwogopa Yehova.+Ameapa juu ya jambo lililo baya kwake, na bado yeye habadiliki.+
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+
6 Usiruhusu kinywa chako kiufanye mwili wako utende dhambi,+ wala usiseme mbele ya malaika+ kwamba lilikuwa kosa.+ Kwa nini Mungu wa kweli akasirike kwa sababu ya sauti yako na kuiharibu kazi ya mikono yako?+