Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Woga na hofu zitaanguka juu yao.+

      Kwa sababu ya ukuu wa mkono wako watatulia kama jiwe,

      Mpaka watu wako+ wapite, Ee Yehova,

      Mpaka watu ambao umewatokeza+ wapite.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Leo nitaanza kutia hofu kwa ajili yako na woga kwa ajili yako mbele ya watu chini ya mbingu zote, ambao watasikia habari juu yako; nao watafadhaika na kuwa na maumivu kama yale ya kuzaa kwa sababu yako.’+

  • Kumbukumbu la Torati 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yenu.+ Yehova Mungu wenu atatia mbele ya uso wa nchi+ yote ambayo mtaikanyaga hofu kwa ajili yenu na woga kwa ajili yenu kama vile alivyowaahidi ninyi.

  • Yoshua 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tuliposikia hayo, ndipo mioyo yetu ikaanza kuyeyuka,+ wala roho yoyote haijaamka bado ndani ya mtu yeyote kwa sababu yenu,+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+

  • Yoshua 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na ikawa kwamba, mara tu wafalme wote wa Waamori,+ waliokuwa ng’ambo ya Yordani upande wa magharibi, na wafalme wote wa Wakanaani,+ waliokuwa kando ya bahari, waliposikia kwamba Yehova alikuwa amekausha maji ya Yordani mbele ya wana wa Israeli mpaka walipokuwa wamevuka, ndipo mioyo yao ikaanza kuyeyuka,+ wala haikuwamo roho yoyote ya nguvu iliyobaki ndani yao tena kwa sababu ya wana wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki