Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na jiji hili litakuwa kitu cha kuharibiwa;+ jiji lenyewe pamoja na kila kitu kilicho ndani yake ni vya Yehova. Rahabu+ yule kahaba peke yake ndiye atakayeendelea kuishi, yeye na wote walio pamoja naye katika nyumba, kwa kuwa aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+

  • Mathayo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu;+

      Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu;+

      Obedi akamzaa Yese;+

  • Waebrania 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa imani Rahabu+ yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliotenda kwa kutotii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa njia ya amani.+

  • Yakobo 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Vivyo hivyo, je, Rahabu+ yule kahaba hakutangazwa pia kuwa mwadilifu kwa matendo, baada ya kuwakaribisha wale wajumbe na kuwatoa nje kwa njia nyingine?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki