Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wana wa Yakobo wakaingia kutoka shambani mara tu waliposikia juu ya hilo; na hao wanaume wakaumia hisia zao, wakakasirika sana,+ kwa sababu alikuwa amefanya upumbavu wenye kufedhehesha juu ya Israeli kwa kulala na binti ya Yakobo,+ wakati ambapo jambo kama hilo halipasi kufanywa.+

  • Waamuzi 19:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ndipo mwenye nyumba akatoka nje, akawaendea na kuwaambia:+ “Hapana, ndugu zangu,+ tafadhali msifanye jambo lolote baya, kwa kuwa mtu huyu ameingia nyumbani mwangu. Msitende upumbavu huu wenye kufedhehesha.+

  • Waamuzi 19:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini wanaume hao hawakutaka kumsikiliza. Basi mtu huyo akamchukua suria+ wake na kumleta kwao nje; nao wakaanza kulala na mwanamke huyo,+ wakaendelea kumtendea vibaya+ usiku wote mpaka asubuhi, kisha wakamwacha aende wakati wa mapambazuko.

  • 2 Samweli 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata hivyo, yeye akamwambia: “Hapana, ndugu yangu! Usinifedheheshe;+ kwa maana si kawaida kufanya hivi katika Israeli.+ Usifanye upumbavu huu wenye kufedhehesha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki