Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+

  • Hesabu 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo ule mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya wana wa Yuda ndio ulioondoka kwanza kabisa, kwa majeshi yao,+ naye Nashoni+ mwana wa Aminadabu alikuwa juu ya jeshi la mgawanyo huo.

  • Waamuzi 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova akasema: “Yuda atapanda.+ Tazama! Hakika nitaitia nchi hiyo mkononi mwake.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana Yuda+ alikuwa mkuu kati ya ndugu zake, na kiongozi alitoka kwake;+ lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yosefu+ —

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki