Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Je, Yehova, Mungu wenu, hayuko pamoja nanyi,+ na je, hakuwapa pumziko kuzunguka pande zote?+ Kwa maana ametia mkononi mwangu wakaaji wa nchi, na nchi imetiishwa mbele za Yehova+ na mbele ya watu wake.

  • Nehemia 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi wana wao+ wakaingia, wakaichukua nchi hiyo na kuimiliki,+ nawe ukatiisha+ mbele yao wakaaji wa nchi hiyo, Wakanaani,+ na kuwatia mikononi mwao, pamoja na wafalme+ wao na vikundi vya watu wa nchi,+ ili wawatendee kulingana na mapenzi yao.+

  • Zaburi 18:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Mungu wa kweli ndiye Mpaji wa matendo ya kisasi kwangu;+

      Naye hutiisha vikundi vya watu chini yangu.+

  • Zaburi 47:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Atatiisha vikundi vya watu chini yetu+

      Na vikundi vya mataifa chini ya miguu yetu.+

  • Zaburi 81:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Adui zao ningewatiisha kwa urahisi,+

      Nami ningegeuza mkono wangu dhidi ya wapinzani wao.+

  • Waebrania 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 ambao kupitia imani walishinda falme katika mapambano,+ wakatenda uadilifu,+ wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki