Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Baadaye ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakashuka, wakamwinua, wakamleta na kumzika kati ya Sora+ na Eshtaoli+ katika kaburi la Manoa+ baba yake. Naye alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka 20.+

  • Waamuzi 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwishowe wana wa Dani wakatuma watu watano wa familia yao, wanaume kutoka kati yao, wanaume waliokuwa watu mashujaa, kutoka katika Sora+ na Eshtaoli,+ wapate kuipeleleza+ nchi na kuichunguza. Basi wakawaambia: “Nendeni, chunguzeni nchi.” Baadaye wakaja katika eneo lenye milima la Efraimu+ mpaka kwenye nyumba ya Mika,+ wakalala hapo usiku kucha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki