Waamuzi 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi palikuwa na kijana wa Bethlehemu+ katika Yuda wa familia ya Yuda, naye alikuwa Mlawi.+ Alikuwa anakaa hapo kwa muda. Waamuzi 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na zaidi, Mika akaujaza nguvu mkono+ wa huyo Mlawi, ili huyo kijana awe kuhani+ kwake na apate kuendelea kuishi katika nyumba ya Mika. Waamuzi 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kisha wana wa Dani wakajisimamishia ile sanamu ya kuchongwa;+ naye Yonathani+ mwana wa Gershomu,+ mwana wa Musa, yeye na wanawe wakawa makuhani kwa kabila la Wadani mpaka siku ile nchi ilipopelekwa uhamishoni.+
7 Basi palikuwa na kijana wa Bethlehemu+ katika Yuda wa familia ya Yuda, naye alikuwa Mlawi.+ Alikuwa anakaa hapo kwa muda.
12 Na zaidi, Mika akaujaza nguvu mkono+ wa huyo Mlawi, ili huyo kijana awe kuhani+ kwake na apate kuendelea kuishi katika nyumba ya Mika.
30 Kisha wana wa Dani wakajisimamishia ile sanamu ya kuchongwa;+ naye Yonathani+ mwana wa Gershomu,+ mwana wa Musa, yeye na wanawe wakawa makuhani kwa kabila la Wadani mpaka siku ile nchi ilipopelekwa uhamishoni.+