Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi palikuwa na kijana wa Bethlehemu+ katika Yuda wa familia ya Yuda, naye alikuwa Mlawi.+ Alikuwa anakaa hapo kwa muda.

  • Waamuzi 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na zaidi, Mika akaujaza nguvu mkono+ wa huyo Mlawi, ili huyo kijana awe kuhani+ kwake na apate kuendelea kuishi katika nyumba ya Mika.

  • Waamuzi 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha wana wa Dani wakajisimamishia ile sanamu ya kuchongwa;+ naye Yonathani+ mwana wa Gershomu,+ mwana wa Musa, yeye na wanawe wakawa makuhani kwa kabila la Wadani mpaka siku ile nchi ilipopelekwa uhamishoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki