Mwanzo 31:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sasa Labani alikuwa ameenda kunyoa kondoo wake. Wakati huohuo Raheli aliiba terafimu+ zilizokuwa za baba yake. Mwanzo 31:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ingawa wewe kwa kweli umeenda sasa kwa sababu umekuwa ukitamani mno nyumba ya baba yako, hata hivyo, kwa nini umeiba miungu yangu?”+ Waamuzi 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mtu huyo Mika, alikuwa na nyumba ya miungu,+ naye akafanya efodi+ na terafimu,+ akaujaza nguvu mkono+ wa mmoja wa wanawe, ili awe kuhani+ wake. Hosea 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hiyo ni kwa sababu wana wa Israeli watakaa muda wa siku nyingi bila mfalme+ wala mkuu wala dhabihu+ wala nguzo wala efodi+ wala terafimu.+
19 Sasa Labani alikuwa ameenda kunyoa kondoo wake. Wakati huohuo Raheli aliiba terafimu+ zilizokuwa za baba yake.
30 Ingawa wewe kwa kweli umeenda sasa kwa sababu umekuwa ukitamani mno nyumba ya baba yako, hata hivyo, kwa nini umeiba miungu yangu?”+
5 Na mtu huyo Mika, alikuwa na nyumba ya miungu,+ naye akafanya efodi+ na terafimu,+ akaujaza nguvu mkono+ wa mmoja wa wanawe, ili awe kuhani+ wake.
4 Hiyo ni kwa sababu wana wa Israeli watakaa muda wa siku nyingi bila mfalme+ wala mkuu wala dhabihu+ wala nguzo wala efodi+ wala terafimu.+