Mwanzo 47:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Yosefu akampa baba yake na ndugu zake makao, naye akawapa mali katika nchi ya Misri, katika sehemu bora kabisa ya nchi hiyo, katika nchi ya Ramesesi,+ kama vile tu Farao alivyokuwa ameamuru. Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ Methali 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;+ na mtu anayekuwa baba ya mwenye hekima atamshangilia pia.+ Mathayo 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mheshimu baba yako na mama yako,+ na, Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+
11 Kwa hiyo Yosefu akampa baba yake na ndugu zake makao, naye akawapa mali katika nchi ya Misri, katika sehemu bora kabisa ya nchi hiyo, katika nchi ya Ramesesi,+ kama vile tu Farao alivyokuwa ameamuru.
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;+ na mtu anayekuwa baba ya mwenye hekima atamshangilia pia.+