Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Hatua za mwanamume zimetayarishwa na Yehova,+

      Na Yeye hupendezwa na njia yake.+

  • Methali 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Huenda moyo wa mtu wa udongo ukaifikiria njia yake,+ lakini Yehova ndiye huzielekeza hatua zake.+

  • Methali 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Moyo wa mfalme ni kama vijito vya maji mkononi mwa Yehova.+ Huugeuza kuelekea popote anapopenda.+

  • Yeremia 10:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mtu wa udongo haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+

  • 2 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki