-
Zekaria 1:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Hata hivyo, je, maneno yangu na masharti yangu ambayo niliwaamuru watumishi wangu manabii,+ hayakuwapata baba zenu?’+ Basi wakarudi na kusema: ‘Kulingana na yale ambayo Yehova wa majeshi alikusudia akilini kututendea,+ kulingana na njia zetu na kulingana na matendo yetu, ndivyo alivyotutendea sisi.’ ”+
-