1 Samweli 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nalo sanduku la Mungu likatekwa,+ na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+ 1 Samweli 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi Wafilisti wakalichukua lile sanduku+ la Mungu wa kweli, wakalibeba kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi.+ Zaburi 78:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Naye akatia nguvu zake utekwani+Na uzuri wake mkononi mwa mpinzani.+
5 Basi Wafilisti wakalichukua lile sanduku+ la Mungu wa kweli, wakalibeba kutoka Ebenezeri mpaka Ashdodi.+