Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Basi Sauli akamvika Daudi mavazi yake, akaweka kofia ya shaba juu ya kichwa chake, halafu akamvika vazi la chuma.

  • 1 Wafalme 22:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na palikuwa na mtu aliyepinda upinde bila kujua, lakini akampiga mfalme wa Israeli katikati ya viungio na vazi la chuma, naye akamwambia mwendesha-gari+ wake: “Geuza mkono wako, uniondoe katika kambi, kwa sababu nimeumizwa vibaya.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Uzia akaendelea kuwafanyia matayarisho, jeshi lote, ngao+ na mikuki+ na kofia+ na mavazi ya chuma+ na pinde+ na mawe ya kombeo.+

  • Yeremia 51:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Yeye anayekanyaga upinde wake na asikanyage.+ Na yeyote asisimame akiwa amevaa vazi lake la chuma.

      “Nanyi msiwahurumie vijana wake.+ Liangamizeni jeshi lake lote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki