Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+

  • Kumbukumbu la Torati 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye atawaambia, ‘Sikieni, Ee Israeli, mnakaribia leo kupigana na adui zenu. Msiache mioyo yenu iogope.+ Msiogope na kukimbia kwa wasiwasi au kutetemeka kwa sababu yao,+

  • 1 Samweli 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakati Sauli+ na Israeli wote waliposikia hayo maneno ya yule Mfilisti, wakaingiwa na hofu na kuogopa sana.+

  • Isaya 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na habari ikapelekwa kwa nyumba ya Daudi, kusema: “Siria imeegemea Efraimu.”+

      Na moyo wake na moyo wa watu wake ukaanza kutetemeka, kama kutetemeka kwa miti ya msituni kwa sababu ya upepo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki