Mambo ya Walawi 26:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “‘Nao wale wanaobaki katikati yenu,+ hakika nitatia woga mioyoni mwao katika nchi za adui zao; na sauti ya jani linalopeperushwa itawafukuza, nao kwa kweli watakimbia kama wanavyoukimbia upanga na kuanguka pasipo mtu yeyote kufuatilia.+ Methali 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+
36 “‘Nao wale wanaobaki katikati yenu,+ hakika nitatia woga mioyoni mwao katika nchi za adui zao; na sauti ya jani linalopeperushwa itawafukuza, nao kwa kweli watakimbia kama wanavyoukimbia upanga na kuanguka pasipo mtu yeyote kufuatilia.+
28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+