1 Samweli 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na ikawa kwamba walipokuwa wakiingia naye akamwona Eliabu,+ mara moja akasema: “Hakika mtiwa-mafuta wake yuko mbele za Yehova.” 1 Mambo ya Nyakati 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu,+ na Abinadabu+ wa pili, na Shimea+ wa tatu,
6 Na ikawa kwamba walipokuwa wakiingia naye akamwona Eliabu,+ mara moja akasema: “Hakika mtiwa-mafuta wake yuko mbele za Yehova.”