Methali 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeyote anapojibu jambo kabla ya kulisikia,+ huo ni upumbavu na aibu kwake.+ Mhubiri 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe na haraka kuudhika katika roho yako,+ kwa maana kuudhika hukaa katika kifua cha wajinga.+ Mathayo 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Acheni kuhukumu+ ili msihukumiwe; Waroma 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa nyumbani wa mwingine?+ Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova anaweza kumsimamisha. + Yakobo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+
4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa nyumbani wa mwingine?+ Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova anaweza kumsimamisha. +
12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+