Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeyote anapojibu jambo kabla ya kulisikia,+ huo ni upumbavu na aibu kwake.+

  • Mhubiri 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Usiwe na haraka kuudhika katika roho yako,+ kwa maana kuudhika hukaa katika kifua cha wajinga.+

  • Mathayo 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Acheni kuhukumu+ ili msihukumiwe;

  • Waroma 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa nyumbani wa mwingine?+ Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova anaweza kumsimamisha. +

  • Yakobo 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kuna mmoja ambaye ni mpaji-sheria na mwamuzi,+ ambaye anaweza kuokoa na kuangamiza.+ Lakini wewe ni nani ili uwe ukimhukumu jirani yako?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki