Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nawe umlimie udongo, wewe na wana wako na watumishi wako, nawe utayakusanya mavuno, nayo yatakuwa chakula kwa walio wa mjukuu wa bwana wako, nao watakula; lakini Mefiboshethi, mjukuu wa bwana wako, atakula mkate mezani pangu sikuzote.”+

      Basi Siba alikuwa na wana 15 na watumishi 20.+

  • Methali 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nafsi yenye ukarimu hiyo yenyewe itanoneshwa,+ naye anayenywesha wengine kwa ukarimu yeye mwenyewe pia atanyweshwa kwa ukarimu.+

  • Mathayo 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kwa hiyo, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi,+ lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo; hii, kwa kweli, ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+

  • Luka 6:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Muwe na mazoea ya kuwapa watu, na watu watawapa ninyi.+ Watawamwagia katika mfuko wa nguo zenu kipimo kizuri, kilichoshindiliwa, kilichotikiswa pamoja na kufurika. Kwa maana kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi pia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki