Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini akaendelea kukataa kugeuka kando; ndipo Abneri akampiga tumboni+ kwa ncha ya nyuma ya mkuki, hata mkuki ukatokea upande wake wa nyuma; akaanguka hapo, akafa papo hapo. Na ikawa kwamba watu wote waliofika mahali ambapo Asaheli alianguka kisha akafa wakawa wakisimama tuli.+

  • 2 Samweli 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka kando ndani ya lango ili aseme naye kimyakimya.+ Hata hivyo, hapo akampiga tumboni,+ hata akafa kwa sababu ya damu ya Asaheli+ ndugu yake.

  • 2 Samweli 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Amasa hakuwa mwangalifu juu ya ule upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu; naye akamchoma+ nao tumboni, na matumbo yake yakamwagika chini, wala hakuhitaji kurudia kufanya hivyo tena. Basi akafa. Na Yoabu na Abishai ndugu yake wakamfuatilia Sheba mwana wa Bikri.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki