1 Samweli 20:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye akamwambia mtumishi wake: “Tafadhali kimbia, tafuta ile mishale ninayopiga.”+ Mtumishi akakimbia, naye akapiga mshale ili umpite, uende mbele yake. 1 Samweli 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli, na mwishowe wapiga-mishale, wapiga-upinde, wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza vibaya.+ 2 Samweli 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kutoka kwa damu ya waliouawa, kutoka kwa mafuta ya wenye uwezo,Upinde wa Yonathani haukugeuka nyuma,+Na upanga wa Sauli haukurudi bila mafanikio.+
36 Naye akamwambia mtumishi wake: “Tafadhali kimbia, tafuta ile mishale ninayopiga.”+ Mtumishi akakimbia, naye akapiga mshale ili umpite, uende mbele yake.
3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli, na mwishowe wapiga-mishale, wapiga-upinde, wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza vibaya.+
22 Kutoka kwa damu ya waliouawa, kutoka kwa mafuta ya wenye uwezo,Upinde wa Yonathani haukugeuka nyuma,+Na upanga wa Sauli haukurudi bila mafanikio.+