Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kisha Abneri akamwita Yoabu na kusema: “Je, upanga utakula+ bila kukoma? Je, hujui hakika kwamba uchungu ndio utakaotokea mwishowe?+ Basi, itachukua muda gani kabla hujawaambia watu warudi nyuma, waache kuwafuatilia ndugu zao?”+

  • Isaya 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+

  • Yeremia 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakushika nidhamu yoyote.+ Upanga wenu umewala manabii wenu, kama simba anayeangamiza.+

  • Yeremia 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na siku ile ni ya Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, siku yake ya kisasi ya kujilipizia kisasi juu ya adui zake.+ Na hakika upanga utakula na kushiba na kujijaza damu yao, kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, ana dhabihu+ katika nchi ya kaskazini kando ya mto Efrati.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki