Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 13:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Mwishowe nafsi ya Daudi, mfalme, ikatamani kwenda kwa Absalomu; kwa maana alikuwa amejifariji kumhusu Amnoni, kwa sababu alikuwa amekufa.

  • 2 Samweli 18:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ndipo mfalme akahuzunika, akaenda juu katika chumba cha dari+ juu ya njia ya lango, akaanza kulia; naye alisema hivi akiwa anatembea: “Mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu+ Absalomu! Laiti mimi mwenyewe ningekufa badala yako, Absalomu mwanangu, mwanangu!”+

  • 2 Samweli 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi wokovu wa siku ile ukawa pindi ya watu wote kuomboleza, kwa sababu watu walisikia ikisemwa siku hiyo: “Mfalme ameona uchungu kwa sababu ya mwana wake.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki