Waamuzi 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na waangamie hivyo adui zako wote,+ Ee Yehova,Na wanaokupenda+ wawe kama wakati jua linaposonga katika nguvu zake.”+Na nchi ikawa bila usumbufu tena kwa miaka 40.+ Zaburi 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu yangu ili wapate kuila nyama yangu,+Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+Wao walijikwaa na kuanguka.+ Zaburi 68:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Mungu na asimame,+ adui zake na watawanyike,+Na wale wanaomchukia vikali na wakimbie kwa sababu yake.+
31 Na waangamie hivyo adui zako wote,+ Ee Yehova,Na wanaokupenda+ wawe kama wakati jua linaposonga katika nguvu zake.”+Na nchi ikawa bila usumbufu tena kwa miaka 40.+
2 Watenda-maovu walipokuja karibu juu yangu ili wapate kuila nyama yangu,+Wao wakiwa ni wapinzani wangu na adui zangu,+Wao walijikwaa na kuanguka.+
68 Mungu na asimame,+ adui zake na watawanyike,+Na wale wanaomchukia vikali na wakimbie kwa sababu yake.+