Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi nyumba ya Sauli ilikuwa na mtumishi ambaye jina lake lilikuwa Siba.+ Kwa hiyo wakamwita, akaja kwa Daudi, ndipo mfalme akamwambia: “Je, wewe ni Siba?” naye akasema: “Mimi ni mtumishi wako.”

  • 2 Samweli 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Daudi alipokuwa amevuka mbele kidogo ya kile kilele,+ tazama, Siba+ mtumishi wa Mefiboshethi+ alikuwa akija kumpokea, akiwa na punda wawili+ waliotandikwa, na juu yao kulikuwa na mikate+ mia mbili na keki mia moja za zabibu kavu+ na mizigo mia moja ya matunda ya wakati wa kiangazi+ na mtungi mkubwa wa divai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki