20 Naye Daudi akaendelea kumwambia Sulemani mwana wake: “Uwe hodari+ na mwenye nguvu nawe utende. Usiogope+ wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu, Mungu wangu, yuko pamoja nawe.+ Hatakutupa+ wala kukuacha mpaka itakapomalizika kazi yote ya utumishi wa nyumba ya Yehova.