Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mara Yuda alipomwona, akamfikiria kuwa ni kahaba,+ kwa sababu alikuwa ameufunika uso wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Yeyote kati ya binti za Israeli asiwe kahaba wa hekaluni,+ wala yeyote kati ya wana wa Israeli asiwe kahaba wa hekaluni.+

  • Yoshua 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na jiji hili litakuwa kitu cha kuharibiwa;+ jiji lenyewe pamoja na kila kitu kilicho ndani yake ni vya Yehova. Rahabu+ yule kahaba peke yake ndiye atakayeendelea kuishi, yeye na wote walio pamoja naye katika nyumba, kwa kuwa aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+

  • Waamuzi 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi Yeftha+ Mgileadi+ akawa mwanamume mwenye nguvu na shujaa,+ naye alikuwa ni mwana wa mwanamke kahaba,+ naye Gileadi akamzaa Yeftha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki