Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Umemdhihaki Yehova kupitia wajumbe+ wako, nawe unasema,+

      ‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita+ mimi mwenyewe—

      Mimi hakika nitapanda vilele vya maeneo yenye milima,+

      Sehemu za mbali zaidi za Lebanoni;+

      Nami nitaikata mierezi+ yake iliyotukuka, miberoshi+ yake iliyo bora.

      Nami nitaingia mahali pake pa mwisho pa kukaa, msitu wa shamba lake la matunda.+

  • Zaburi 92:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwadilifu atachanua kama mtende;+

      Kama mwerezi katika Lebanoni, atakuwa mkubwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki