-
2 Wafalme 19:23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Umemdhihaki Yehova kupitia wajumbe+ wako, nawe unasema,+
‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita+ mimi mwenyewe—
Mimi hakika nitapanda vilele vya maeneo yenye milima,+
Sehemu za mbali zaidi za Lebanoni;+
Nami nitaikata mierezi+ yake iliyotukuka, miberoshi+ yake iliyo bora.
Nami nitaingia mahali pake pa mwisho pa kukaa, msitu wa shamba lake la matunda.+
-