29 sala yoyote,+ ombi lolote la kutaka kibali+ ambalo huenda likatolewa na mwanadamu au na watu wako wote Israeli,+ kwa sababu wanajua kila mmoja wao pigo+ lake na maumivu yake mwenyewe; wakati anaponyoosha mikono yake kuelekea nyumba hii,+
13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+