1 Mambo ya Nyakati 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa sababu mara ya kwanza hamkufanya hivyo,+ Yehova, Mungu wetu, alitulipukia,+ kwa kuwa hatukumtafuta kulingana na desturi.”+ Zaburi 78:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kadiri alivyowaua ndivyo pia walivyouliza habari zake,+Nao wakarudi na kumtafuta Mungu.+ Methali 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+ Isaya 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kila mtu hakika atapita kati ya nchi akiwa na mkazo sana na njaa;+ na itatukia kwamba kwa sababu ana njaa naye amejitia ghadhabu, kwa kweli atamlaani mfalme wake na Mungu+ wake naye hakika atakaza macho kuelekea juu.
13 Kwa sababu mara ya kwanza hamkufanya hivyo,+ Yehova, Mungu wetu, alitulipukia,+ kwa kuwa hatukumtafuta kulingana na desturi.”+
3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+
21 Na kila mtu hakika atapita kati ya nchi akiwa na mkazo sana na njaa;+ na itatukia kwamba kwa sababu ana njaa naye amejitia ghadhabu, kwa kweli atamlaani mfalme wake na Mungu+ wake naye hakika atakaza macho kuelekea juu.