8 Na ikawa kwamba mara tu Elisha mtu wa Mungu wa kweli aliposikia kwamba mfalme wa Israeli ameyararua mavazi yake,+ mara moja akatuma kwa mfalme, na kusema: “Kwa nini uliyararua mavazi yako? Tafadhali, mwache aje kwangu ili ajue kwamba kuna nabii katika Israeli.”+