Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baada ya muda msichana huyo akamwambia+ bimkubwa wake: “Laiti bwana wangu angekuwa mbele ya nabii+ aliye katika Samaria! Hapo ndipo angemponya ukoma+ wake.”

  • 2 Wafalme 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ikawa kwamba mara tu Elisha mtu wa Mungu wa kweli aliposikia kwamba mfalme wa Israeli ameyararua mavazi yake,+ mara moja akatuma kwa mfalme, na kusema: “Kwa nini uliyararua mavazi yako? Tafadhali, mwache aje kwangu ili ajue kwamba kuna nabii katika Israeli.”+

  • Amosi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki