-
2 Wafalme 3:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Ndipo Yehoshafati akasema: “Huyu ana neno la Yehova.” Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati na mfalme wa Edomu wakashuka kwake.
-
-
2 Wafalme 6:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 Na Elisha alikuwa ameketi ndani ya nyumba yake mwenyewe, na wanaume wazee walikuwa wameketi pamoja naye,+ alipotuma mtu kutoka mbele yake. Kabla ya yule mjumbe kuingia kwake, yeye akawaambia wale wanaume wazee: “Je, mmeona jinsi ambavyo huyu mwana wa muuaji+ ametuma watu kukiondoa kichwa changu? Angalieni: mara mjumbe yule atakapofika, fungeni mlango, nanyi mtamsukuma nyuma kwa mlango. Je, sauti+ ya miguu ya bwana wake haiko nyuma yake?”
-