Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo yule mwanamke akamwambia Eliya: “Kwa kweli sasa najua kwamba wewe ni mtu wa Mungu+ na kwamba neno la Yehova kinywani mwako ni la kweli.”+

  • 1 Wafalme 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Yehu+ mjukuu wa Nimshi+ umtie mafuta kuwa mfalme juu ya Israeli; na Elisha+ mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola+ umtie mafuta kuwa nabii mahali pako.+

  • 2 Wafalme 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo Yehoshafati akasema: “Huyu ana neno la Yehova.” Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati na mfalme wa Edomu wakashuka kwake.

  • 2 Wafalme 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mwishowe akamwambia mume wake:+ “Tazama, sasa, najua vema kwamba ni mtu mtakatifu wa Mungu+ anayepita kwetu kila mara.

  • 2 Wafalme 6:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na Elisha alikuwa ameketi ndani ya nyumba yake mwenyewe, na wanaume wazee walikuwa wameketi pamoja naye,+ alipotuma mtu kutoka mbele yake. Kabla ya yule mjumbe kuingia kwake, yeye akawaambia wale wanaume wazee: “Je, mmeona jinsi ambavyo huyu mwana wa muuaji+ ametuma watu kukiondoa kichwa changu? Angalieni: mara mjumbe yule atakapofika, fungeni mlango, nanyi mtamsukuma nyuma kwa mlango. Je, sauti+ ya miguu ya bwana wake haiko nyuma yake?”

  • 2 Wafalme 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa mfalme alikuwa akisema na Gehazi+ mtumishi wa yule mtu wa Mungu wa kweli, kusema: “Tafadhali, nisimulie mambo yote makuu ambayo Elisha amefanya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki