13 Je, bwana wangu hakuambiwa yale niliyofanya wakati Yezebeli alipowaua manabii wa Yehova, jinsi nilivyowaficha baadhi ya manabii wa Yehova, watu 100 wakiwa vikundi viwili vya watu 50 pangoni,+ nikaendelea kuwapa mkate na maji?+
10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+