Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 18:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Sasa mlinzi akaona mtu mwingine akiwa anakimbia. Kwa hiyo mlinzi akamwita mtunza-lango na kusema: “Tazama! Mtu mwingine anakimbia akiwa peke yake!” naye mfalme akasema: “Huyo pia ni mleta-habari.”

  • Zaburi 127:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 127 Yehova mwenyewe asipoijenga nyumba,+

      Ni bure kwamba wajenzi wake wameifanyia kazi ngumu.+

      Yehova mwenyewe asipolilinda jiji,+

      Ni bure kwamba mlinzi ameendelea kukaa macho.+

  • Marko 13:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ni kama mtu anayesafiri kwenda ng’ambo,+ ambaye aliacha nyumba yake na kuwapa mamlaka watumwa wake, kila mmoja kazi yake, na kumwamuru mtunza-mlango aendelee kukesha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki