16 Na Yehu+ mjukuu wa Nimshi+ umtie mafuta kuwa mfalme juu ya Israeli; na Elisha+ mwana wa Shafati kutoka Abel-mehola+ umtie mafuta kuwa nabii mahali pako.+
7 Lakini kuanguka+ kwa Ahazia kulitokana na Mungu,+ alipomjia Yehoramu; naye alipokuja, alienda+ pamoja na Yehoramu kwa Yehu+ mjukuu wa Nimshi,+ ambaye Yehova alikuwa amemtia mafuta+ ili aikatilie mbali nyumba ya Ahabu.+