11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa+ kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa amechukua kutoka kwa mataifa yote,+ kutoka Edomu na kutoka Moabu+ na kutoka kwa wana wa Amoni+ na kutoka kwa Wafilisti+ na kutoka kwa Amaleki.+
12 Nao wakaendelea kuleta ule mchango+ na ile sehemu ya kumi+ na vile vitu vitakatifu kwa uaminifu;+ na Konania Mlawi alikuwa akiwasimamia akiwa kiongozi, na Shimei ndugu yake alikuwa wa pili.