27 Kipindi cha kuomboleza+ kilipokuwa kimepita, mara moja Daudi akatuma watu na kumchukua yule mwanamke, akamleta katika nyumba yake, naye akawa mke wake.+ Baada ya muda akamzalia mwana, lakini lile jambo ambalo Daudi alikuwa amefanya likawa baya+ machoni pa Yehova.+