5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+
19 mkuu katika shauri+ na mwingi katika matendo,+ wewe ambaye macho yako yamefunguliwa juu ya njia zote za wanadamu,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake na kulingana na matunda ya matendo yake;+