Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa sababu Daudi alifanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka kando kutoka katika jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru siku zote za maisha yake,+ ila tu katika ile habari ya Uria, Mhiti.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi jambo hilo lilikuwa baya machoni pa Mungu wa kweli,+ kwa hiyo akapiga Israeli.

  • Zaburi 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+

      Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+

      Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.

  • Yeremia 32:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 mkuu katika shauri+ na mwingi katika matendo,+ wewe ambaye macho yako yamefunguliwa juu ya njia zote za wanadamu,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake na kulingana na matunda ya matendo yake;+

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki