6 Ndipo makuhani wakaliingiza ndani mahali pake lile sanduku+ la agano la Yehova, mpaka kwenye chumba cha ndani kabisa cha nyumba, pale Patakatifu Zaidi, mpaka chini ya mabawa ya wale makerubi.+
18 na kwa madhabahu ya uvumba+ dhahabu safi kulingana na uzito na kwa ajili ya mfano wa gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu kwa ajili ya kutandaza mabawa yao na kusitiri sanduku la agano la Yehova.
7 Ndipo makuhani wakaliingiza sanduku la agano la Yehova mahali pake, ndani ya chumba cha ndani kabisa+ cha nyumba, ndani ya Patakatifu Zaidi,+ chini ya mabawa ya wale makerubi.+