18 Nami nikaendelea kuwaambia kuhusu mkono+ wa Mungu wangu, jinsi ulivyokuwa mwema juu yangu,+ na pia kuhusu maneno ya mfalme,+yale aliyoniambia. Ndipo wakasema: “Na twende, tukajenge.” Basi wakaitia mikono yao nguvu kwa ajili ya kazi hiyo njema.+
10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+