14 Ndipo kura ya upande wa mashariki ikamwangukia Shelemia.+ Kwa ajili ya Zekaria+ mwana wake, mshauri+ mwenye busara, walipiga kura, na kura yake ikawa upande wa kaskazini.+
14 Na Kore mwana wa Imna Mlawi alikuwa mtunza-lango+ upande wa mashariki,+ mwenye kusimamia matoleo ya hiari+ ya Mungu wa kweli, ili kutoa mchango+ wa Yehova na vitu vitakatifu zaidi.+