2 Samweli 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Hushai Mwarki ni bora+ kuliko shauri la Ahithofeli!” Na Yehova alikuwa ametoa amri+ shauri la Ahithofeli livunjwe+ ingawa lilikuwa jema,+ ili Yehova alete msiba+ juu ya Absalomu. Zaburi 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+Amezuia fikira za vikundi vya watu.+
14 Ndipo Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Hushai Mwarki ni bora+ kuliko shauri la Ahithofeli!” Na Yehova alikuwa ametoa amri+ shauri la Ahithofeli livunjwe+ ingawa lilikuwa jema,+ ili Yehova alete msiba+ juu ya Absalomu.