27 Na ikawa kwamba, mara tu Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba+ la wana wa Amoni,+ na Makiri+ mwana wa Amieli+ kutoka Lo-debari, na Barzilai+ Mgileadi, kutoka Rogelimu+
7 “Nawe uwaonyeshe fadhili zenye upendo wana wa Barzilai+ Mgileadi, nao wawe kati ya wale wanaokula mezani pako;+ kwa maana hivyo ndivyo walivyonikaribia+ wakati nilipokimbia mbele ya Absalomu ndugu yako.+