14 Kwa maana ukinyamaza kabisa wakati huu, msaada na ukombozi wa Wayahudi utasimama kutoka mahali pengine;+ bali wewe pamoja na nyumba ya baba yako, mtaangamizwa. Na ni nani anayejua ikiwa si kwa ajili ya wakati kama huu kwamba umefikia heshima ya kifalme?”+