Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • Isaya 54:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+

  • Yeremia 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Yehova, “ili nikuokoe;+ lakini nitafanya maangamizi kati ya mataifa yote ambako nimekutawanya.+ Hata hivyo, kwako sitafanya maangamizi.+ Nami nitakurekebisha kwa kiwango kinachofaa, kwa kuwa sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.”+

  • Amosi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Tazama! Macho ya Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova yako juu ya ufalme wenye dhambi,+ naye atauangamiza kutoka juu ya uso wa nchi.+ Hata hivyo, sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki